AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hatimaye mwili wa Mchekeshaji Sobagani Zabron maarufu Erick Kisauti (37) umezikwa katika makaburi ya Nyasaka Ilemela Jijini Mwanza
Maziko hayo yamehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Hassan Masala, Wasanii wa pamoja na Wananchi.
Mchekeshaji Erick Kisauti alifariki usiku wa kuamkia Jumatano Agosti 17, huko Kibaha mkoani Pwani alikokuwa akiendelea na matibabu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK