Serikali yaongeza mishahara ya Walimu Shule za Msingi kwa 88%

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Serikali nchini Rwanda, imeongeza mishahara ya Walimu wa shule za msingi, ambao sasa watapata nyongeza ya asilimia 88 ya mishahara yao kuanzia mwezi huu wa Agosti 2022, ikiwa ni sehemu ya motisha inayolenga kuboresha maisha yao.


Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya elimu ya nchi hiyo, iliyotolewa kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter Agosti 1, 2022 imesema chini ya marekebisho hayo mapya, walimu wa shule za upili pia watapata nyongeza ya malipo ya ongezeko la asilimia 40.


Aidha, taarifa hiyo ilibainisha kuwa mishahara halisi ya walio na cheti katika taaluma ya ualimu ambayo kwa sasa inaanzia 50,849 FRW (sawa na Tsh.114,472.22) na itapanda hadi Tsh. 215,221.86.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad