AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siku ya leo klabu ya Simba umetambulisha jezi zake na mashabiki wa klabu hiyo wamekuwa na mwitikio mkubwa juu ya kununua jezi za klabu yao.
Akiongea na Bongofive Mtangazaji wa mpira wa Azam Ramadhani Ngoda ameeleza kuwa kwa namna vilabu vya Tanzania vinavyotambulisha jezi zao vitavifikia vilabu vikubwa duniani akivitaja kama Real Madrid na Manchester United.
Mbali na hilo ameeleza namna ligi kuu msimu huu wa 2022/23 utakavyokuwa mgumu akivitolea mfano vilabu vilivyojipanga vizuri kama Singida Big Stars, Namungo na Dodoma Jiji.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK