Tanzania kwa Namna ya Vilabu Vinavyotambulisha Jezi Jezi Tutazifikia Madrid na Manchester

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Siku ya leo klabu ya Simba umetambulisha jezi zake na mashabiki wa klabu hiyo wamekuwa na mwitikio mkubwa juu ya kununua jezi za klabu yao.

Akiongea na Bongofive Mtangazaji wa mpira wa Azam Ramadhani Ngoda ameeleza kuwa kwa namna vilabu vya Tanzania vinavyotambulisha jezi zao vitavifikia vilabu vikubwa duniani akivitaja kama Real Madrid na Manchester United.

Mbali na hilo ameeleza namna ligi kuu msimu huu wa 2022/23 utakavyokuwa mgumu akivitolea mfano vilabu vilivyojipanga vizuri kama Singida Big Stars, Namungo na Dodoma Jiji.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad