AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni vita ya maneno kati ya Dogo Janja na Young D ambapo Young Dee amedai, Janjaro ameshindwa muziki na kwa umri wake sio wa kupost na kuringishia viatu na nguo.
Kwenye Refresh ya Wasafi Tv, Dee amekazia kuwa siku zote wanawake wanajua Marioo anataka nini, hivyo mpenzi wake Janjaro amejua Jamaa anapenda viatu,nguo mpya na kusafiri na ndicho anacho kifanya hadi Dogo Janja kasahau kitu kinaitwa muziki.😁
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK