AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mara baada ya Hassan Mwakinyo kushuhudiwa akipigwa kwa TKO na bondia Liam Smith, mijadala mbalimbali imeibuka katika mitandao ya kijamii.
Lakini mjadala mkubwa ni ule ambao, wengi wamekuwa wakijiuliza Je, Mwakinyo alilipwa pesa ili auze mchezo wake kwa kumpa ubingwa bondia huyo ambaye katika mchezo huu alikuwa ni Mpinzani wake?
Mmoja kati ya watu waliohoji kuhusiana na hili ni meya wa zamani wa Ubungo Boniface Jacob ambaye ameandika kupitia ukurasa wake wa twitter akisema
Sasa hii Mwakinyo ataniambia nini niamini kwamba hajauza game?
Hii inakuja kutokana na kiwango ambacho Hassan Mwakinyo alikionyesha katika mchezo tangu mzunguko wa kwanza wa pambano hilo ulipoanza hadi pale matokeo yaliyowaacha watanzania wengi midomo wazi yalipojitokeza.
Je, nini mtazamo wako kuhusiana na mjadal huu unaohusu Mwakinyo kuuza mchezo wake wa usiku huu wa leo?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK