Haki ya Faragha Kwa Wafungwa wa Tanzania Iko Hivi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Serikali imesema suala la haki ya faragha kwa Wafungwa na Wenza wao itaanza kutolewa pale ambapo mifumo ya kisheria na miundombinu ya Magereza itakapokidhi kutolewa kwa haki hiyo ambapo masuala mengine yatakayozingatiwa ni usalama, mila na desturi za Watanzania, kwani haki hiyo inatakiwa kutekelezwa kwa faragha.

Kauli hiyo imetolewa Bungeni leo September 13 2022 na Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni wakati akijibu Swali la Mbunge wa Viti Maalumu Bahati Keneth Ndingo aliyetaka kufahamu lini Serikali itaweka mfumo utakaoruhusu Wafungwa kupata haki ya faragha na Wenza wao.
#

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad