AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyota wa muziki kutokea hapa nchini @harmonize_tz kupitia kibao chake kipya alichokiachia siku ya leo amesema kuwa hamuitaji Mwijaku, Hbaba wala Baba Levo kwenye maisha yake.
Ndani ya ngoma hio #LeaveMeAlone aliyomshirikisha mwanadada anayekuja kwa kasi kwenye tasnia ya muziki @abigail_chams, Harmonize amefikisha ujumbe wake huo akiwataka watu wamuachie maisha yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK