AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kidoa Afunguka Kuwa Mke Bora, Awashangaa Wanaume! WAOAJI mpo? Video queen ambaye kwa sasa amegeukia kwenye uigizaji Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’
amefunguka kuwa yeye ni ‘waifu matirio’ (mke bora) hivyo anashangaa kwa nini wanaume hawamuoni.
Kidoa kipindi cha nyuma alifunguka kuwa, anajijua yeye ni miongoni mwa wanawake wanaostahili kuwekwa ndani kwa sababu anajiamini kwenye tabia na kila kitu.
“Unajua ukiwa msanii, mtu anaweza kukufikiria kuwa huwezi kuwa mke bora, lakini ukweli ni kwamba ninastaili kuwa mke bora wa kuwekwa ndani na nikatulia kabisa,” alisema Kidoa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK