AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nina maswali yangu kadhaa tu, nimemsikiliza Kijana wetu na kutazama pambano ila kwenye kona yake hapakuwa na Kocha wake na waliopo walikuwa hawaelewi cha kumshauri Hassan.
Alionesha ameumia mguu wa kulia, mguu ni kiungo muhimu mno kwenye ring sasa kwanini hakushauri kutoka kwenye kamba? Muda mwingi alikuwa kwenye kamba.
Kijana wetu amepoteza pambano ila kuna sintofahamu nyingi sana, haswa ukizingatia uwezo mkubwa wa Hassan na namna alivyoanza fight na lilivyoisha.
Hassan ametuomba Watanzania msamaha, Hassan amelia kuonesha kiu yake ya kutaka kurejea na ushindi nyumbani ila kwasasa sisi bado tunawaza alipotezaje? Panaumiza sana kichwa haswa kwa uwezo mzuri wa Hassan.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK