AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jesto Lucas (34), mkazi wa Kijiji cha Nyashoshi, Kata ya Buhumbi wilaya ya Magu mkoani Mwanza, amemuua Baba yake mzazi pamoja na aliyekuwa mke wake kwa kuwakata mapanga kisha na yeye mwenyewe kujinyonga kwa shuka, huku kisa kikitajwa kuwa ni wivu wa mapenzi.
Inadaiwa mwanaume huyo aliachana na aliyekuwa mke wake lakini bado alikuwa anampenda, na kwamba alitekeleza unyama huo baada ya mke wake huyo kwenda kumsalimia baba yake mkwe (Baba wa Jesto), na wakati anamcharanga mapanga Baba yake alishuhudia tukio hilo na ndipo alipoamua kuwaua wote.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kisimo A John Misalaba, pamoja na Mtendaji wa Kijiji cha Nyashoshi Esther Peter, nao wakaeleza namna wanavyolifahamu tukio hilo na kuahidi kufanya mkutano wa hadhara kwa ajili ya kuweka ulinzi shirikishi wa namna ya kuwajengea uelewa wananchi wa kuishi vyema kwenye ndoa na mahusiano yao
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK