AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva H Baba ameonyesha kutofurahishwa na namna Harmonize anavyoendesha lebo yake ya Konde Gang.
H Baba amemuomba @officialalikiba kuwarudisha @officialcheed na @officialkilly_tz ambao walikuwa wasanii wake na kudai kule hawalipwi.
H Baba amesimulia namna Ibrah anavyopitia wakati mgumu huku akienda mbali zaidi akisema kiki ya Ibrah na @miriamodemba Harmonize alimkataza.
Tazama VIDEO:
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK