H. Baba: Konde Gang Hakuna Msanii Mwenye Ubalozi Hata Mmoja, Hawalipwi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva H Baba ameonyesha kutofurahishwa na namna Harmonize anavyoendesha lebo yake ya Konde Gang.


H Baba amemuomba @officialalikiba kuwarudisha @officialcheed na @officialkilly_tz ambao walikuwa wasanii wake na kudai kule hawalipwi.

H Baba amesimulia namna Ibrah anavyopitia wakati mgumu huku akienda mbali zaidi akisema kiki ya  Ibrah  na @miriamodemba Harmonize  alimkataza.

Tazama VIDEO:


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad