AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dar es Salaam. Kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau kuhusu demokrasia ya vyama vingi nchini, kimependekeza sheria ziboreshwe kuweka ukomo wa miaka 10 ya ubunge, uwakilishi au Diwani wa viti maalum
Akiwasilisha mapendekezo hayo leo Ijumaa Oktoba 21, 2022 Ikulu jijini Dar es Salaam, mwenyekiti wa kikosi kazi, Profesa Rwekaza Mukandala amesema wanapendekeza utaratibu wa kuwa na viti maalum vya wabunge wawakilishi na madiwani wanawake uendelee.
“Utaratibu wa kuwa na viti maalum vya wabunge, wawakilishi na madiwani wanawake uendelee isipokuwa sheria ziboreshwe kuweka ukomo wa miaka 10 kwa mtu kuwa mbunge mwakilishi, au diwani wa viti maalum, wakilishi huu ni njia ya kupata uzoefu na kisha kupisha wanawake wengine wenye nia ya kuongeza ujuzi masuala ya siasa na uongozi”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK