MGUNDA TUPO TAYARI KUIFUNGA YANGA LEO

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



KOCHA Mkuu wa Klabu ya Simba SC, Juma Mgunda, amesema kuwa maandalizi ya mchezo wa Derby dhidi ya Yanga SC yamekamilika na wachezaji wote wapo kwenye hali nzuri.

Mgunda amesema utakuwa mchezo mgumu wa ushindani lakini wamejipanga vizuri kuhakikisha wanashinda na kuchukua alama tatu muhimu.

Mgunda ameongeza kuwa katika mchezo huo Simba itaendelea kuwakosa Shomari Kapombe na Jimmyson Mwanuke ambao bado wanaendelea kuuguza majeraha yao.

“Mchezo utakuwa mgumu, lakini sisi tumejiandaa kuhakikisha tunashinda na kupata alama tatu huku tukicheza aina yetu ya mpira tulioizoea. Mechi ya Derby ni ngumu lakini tuko tayari,” amesema Mgunda.


Kwa upande wake Nahodha Msaidizi Mohamed Hussein, amesema kuwa kwa upande wao Wachezaji wapo kwenye hali nzuri na morali ipo juu kuhakikisha wanapata ushindi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad