Rayvanny Sio Bilionaire Aache Kupotosha Umma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Baada ya @rayvanny ku-sign Deal na @mziiki, kama Wasambazaji wa kazi zake, amesema kwamba hivi sasa ni Billionaire kutokana na Deal Hilo.


Kwanza kabisa @rayvanny inabidi aheshimu sana Neno "Billionaire", kuna maneno ya kuropoka ropoka ila sio hili neno. Tanzania nzima mpaka sasa inaaminika kwamba Billionaire ni Mmoja tu, @moodewji , sasa huyu Rayvanny anatoa wapi Confidence ya kuropoka kwamba yeye ni Billionaire?


Hivi anaelewa kweli namna ambavyo Billionaire anapatikana? Au anajua kumilikia Tsh Billion 1 unaitwa Billionaire? Mbona Mabillionea wangekuwa wengi sana, mpaka mtu anayemiliki Nyumba tatu, Gari, Mashamba kadhaa na yeye angekuwa Billionaire.


Rayvanny pita hata memkwa, Ubillionea unahesabiwa kwa Us Dollar sio Tsh, Ili kuitwa Billionaire lazima utajiri wako Usome kuanzia DOLLAR BILLION MOJA, DIAMOND TU NI MILLIONAIRE, WEWE UNAPATA WAPI UJASIRI WA KUJITANGAZA BILLIONAIRE?


NB: Billionaire is a person possessing assets worth at least a billion pounds or dollars.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad