Aliyeishi Uwanja wa Ndege kwa Miaka 18 Aaga Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Mtu mmoja raia wa Iran, Mehran Karimi Nasseri ambaye amekuwa akiishi katika uwanja wa ndege wa Charles de Gaulle jijini Paris kwa miaka 18, amefariki dunia kwa mshituko wa moyo.



Nasseri, ambaye amefariki hapo jana Novemba 12, 2022 aliishi katika uwanja huo wa ndege kutoka mwaka 1988 baada ya kukosa hati za ukaazi na aliondoka Iran kwenda masomoni Uingereza mwaka 1974 na aliporudi alidai kufungwa kwa kumpinga Mfalme na kisha alifukuzwa bila ya pasipoti.



Kisa chake, kinaonesha kuwa aliomba hifadhi ya kisiasa katika nchi kadhaa barani Ulaya na baadaye Shirika la kuwahudumia wakimbizi la UNHCR, nchini Ubelgiji lilimpatia nyaraka za ukimbizi ambazo hata hivyo ziliibwa akiwa jijini Paris.


Kufuatia kadhia hiyo, Nasseri alikamatwa na Polisi wa Ufaransa lakini hawakuweza kumfukuza nchini humo kutokana na kutokuwa na hati rasmi za utambulisho wake na hadithi yake ikachangia utengenezaji wa filamu ya “The Terminal”.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad