AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KLABU ya Simba Sc leo imeingia uwanjani kumefanyana na timu ya Singida Big Star mechi ambayo Simba Sc ikilazimisha sare ya 1-1 baada ya kusawazisha bao kipindi cha pili.
Singida Big Star walianza kupata bao kupitia kwa nyota wao Deus Kaseke akipokea krosi kutoka kwa Hamisi Ndamla katika dakika za mwazo kipindi cha kwanza.
Mchezo huo ambao ulipigwa kwenye dimba la Liti Mkoani Singida, timu ya Singida Big Star ilionesha kutawala mpira kipindi cha kwanza huku wakishambulia kwa kushtukiza ndipo wakapata bao la mapema.
Simba Sc iliwapumzisha baadhi ya mastaa wake akiwemo Okra pamoja na Manula huku Kakolanya akiaminiwa langoni.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK