Edo Kumwembe Awashukia Waliotoa Adhabu ya Kuwafungia Mechi Tatu Aziz K na Chama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Napelekeshwa zaidi na matumizi ya common sense kuliko kanuni au sheria. Kwa mfano ile sheria ya PF3...kwamba unakaribia kufa lakini manesi na madokta wanasema hawakutibu hauna PF3 kutoka Polisi...

Na tukirudi katika common sense kanuni inayomlazimisha mchezaji kumpa mwenzake mkono. Aishi Manula anamuona Prince Dube anapakaa mafuta ya Nguruwe kabla ya mechi, atampa mkono? Na mgeni wa heshima ambaye jana kanitukana Baa kwanini nimpe mkono? Ndio maana Wazungu wakaamua fair play isiwe lazima. Zaha hapigi magoti wakati issue hizi za kupiga magoti kabla ya mechi haijaanza. 

Hakuna adhabu. Ferdinanes waligoma kumpa mkono John Terry. Hakuna adhabu. Suarez aligoma kumpa mkono Evra. Hakuna adhabu. Adhabu aliyopewa ilihusiana na masuala ya ubaguzi. Inanichekesha watu wanapodeal na kanuni ambazo zilitungwa huku nusu ya Wajumbe wakivuta sigara nje. Na waliozikubali walikuwa busy wakisubiri posho zao. Katika soka la wanawake zipo? Kuna dada zetu wa Kiislamu wamefundishwa kutompa mkono mwanaume. 

Ni kama yule Mama aliyekwepa kumpa mkono Uhuru Kenyatta.......Napenda kutumia common sense kuliko kanuni kwa sababu kanuni nyingi zinatungwa na watu wasiotumia common sense, hata huku dunia ya tatu....

(Morrison na Metacha wamepiga watu wamefungiwa mechi tatu...hawa hawajasalimia wamepigwa mechi tatu, is it right?)

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad