Hassan Mwakinyo Chali Mabondia 10 Bora Afrika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


KWENYE orodha ya mabondia 10 bora wa bara la afrika, kutoka madaraja yote ya uzito (P4P), Taifa la Afrika Kusini limeongoza kwa kutoa mabondia 6.

Wengine ni kutoka taifa la DR Congo, Namibia na Ghana, Huku mabondia wa Tanzania wakiwa hawapo hata 20 bora.

Orodha hiyo ni kama ifuatavyo:-

1.Ilunga Makabu🇨🇩
2.Thabiso Mchunu🇿🇦
3.Jeremia Nakathila🇳🇦
4.Martin Bakole🇨🇩
5.Richard Commey🇬🇭
6.Thulani Mbenge🇿🇦
7.Azinga Fuzile🇿🇦
8.Jackson Chauke🇿🇦
9.Kevin Lerena🇿🇦
10.Zolani Tete🇿🇦

....
23.Tony Rashid🇹🇿
24.Hassan Mwakinyo🇹🇿
37.Ibrahim Class🇹🇿
85.Juma Choki🇹🇿
86.Twaha Kiduku🇹🇿
208. Mfaume Mfaume🇹🇿
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad