AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanaume huyo amedakwa na polisi nchini Uganda kwa kuvaa na kujifanya mwanamke kisha kuwatapeli wanaume mbalimbali ambao hawakumshitukia
Mmoja wa mwanaume alimshitukia baada ya kuingiza mkono kifuani na kuanza kumpapasa na ndipo ghafla akapatwa na mshituko kuona hamna kitu cha maana cha kupapasa hapo kifuani
Tayari wanaume 57 wameripotiwa kukiri kutapeliwa na njemba hiyo huku wanaume 22 wakikiri kutapeliwa nae karibia mara tatu. Alikuwa akitapeli waliolewa na hata ambao hawajalewa kwa kuwaingiza mkenge wakidhani ni mwanamke
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK