Lukamba Amuangukia Shuu Baada ya ndoa yake na Cecy Kuvunjika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Lukamba amuangukia Shuu aliyekuwa mke mkubwa, ni baada ya ndoa yake na mke mdogo kusambaratika

“Cecy amenifanya nijue upendo wa Shuu mimi ulikuwa wa kweli, Shuu nisamehe sana leo nimeamini hukunipendea jina” - ameiambia Wasafi FM

Baada ya kumuoa Ceccy watatu hao wwlikuwa watu wa kunyukana mitandaoni, mishowe Shuu alidaiwa kuwaacha waendelee alipoishia na kuangalia ustaarabu wake ikiwemo kulea mtoto waliyezaa pamoja. Ila majuzi Ceccy alitangaza kuwa kwasasa yeye sio mke wa Lukamba tena

Lukamba hata kabla ya kuwa maarufu alikuwa na Shuu
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad