AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanaume aliyejifanya mwanamke nchini Zambia ili kuajiriwa kama mjakazi 'House Girl' amekamatwa kwa kujaribu kumdhulumu kimapenzi mvulana wa miaka 19.
Christopher Mukutindwa, 29, ambaye anatoka Mtendere alijaribu kujilazimisha kwa mpwa wa mwajiri wake baada ya kufanya kazi nyumbani kwao kwa miezi mitano.
Mwebantu aliripoti Mukutindwa alimvuta mwathiriwa wake chumbani kwake na kujaribu kujilazimisha kwake lakini alizidiwa nguvu na kijana huyo ambaye alikimbia kuokoa maisha yake na kuripoti kisa hicho kwa polisi.
“Ukweli kwa ufupi Mukutindwa alimuita mwathiriwa chumbani kwake, akavua kitenge alichokuwa amevaa ili afanye mapenzi naye.
Hapo ndipo mwathiriwa alipogundua kuwa mjakazi huyo alikuwa ni mwanaume na kuanza kumenyana naye akafanikiwa kumzidi nguvu,” alisema msemaji wa Polisi Rae Hamoonga mnamo Alhamisi, Novemba 3, 2022.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK