Profesa Muhongo"Hatuko Tena Kwenye Uchumi wa Kati"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mbunge wa jimbo la Musoma vijijini Profesa Sospeter Muhongo, amesema kwamba nchi ya Tanzania haipo tena kwenye uchumi wa kati, kwani imeshuka na kwamba hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu pato la mtu mmoja mmoja litafikia dola za kimarekani 990.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 8, 2022, Bungeni jijini Dodoma, wakati akichangia kwenye taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kuhusu Maendeleo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa unaokusudiwa kutekelezwa na serikali kwa mwaka wa 2023/2024 pamoja na mwongozo wa kuandaa mpango na bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad