AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia taarifa waliyopewa TMZ ni kwamba, Maafisa wa polisi na wengine walioshuhudia wamesema kwamba tukio hilo la ufyatuaji wa risasi lilitokea saa nane na nusu alfajiri (kwa saa za Marekani) kwenye barabara iitwayo 810 Billiards & Bowling Houston.
Inaelezwa kwamba ulitokea mvutano wakati TakeOff na Quavo (MIGOS) wakiwa hapo na mtu mmoja akafyatua risasi. Risasi hiyo ilimpata TakeOff sehemu ya kichwani na kufariki pao hapo. Wengine wawili waliojeruhiwa kwa risasi kwenye mvutano huo walikimbizwa hospitali. Quavo hajajeruhiwa kwenye tukio hilo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK