Paula Masanja Ajibu Kuhusu Mamae Kupokonywa Range Rover , Atoa Bonge la Msonyo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtoto wa mwigizaji Kajala Masanja, Paula amejibu madai ya kuwa walipokonywa gari la kifahari aina ya Range Rover na aliyekuwa mpenzi wa mama yake, Konde Boy Harmonize.

Gari hilo ambalo Harmonize alimzawadi Kajala kama ombi la kutaka kurudiana naye baada ya kutengana kwa mara ya kwanza ndilo lililokuwa likizungumziwa.

Kupitia video hiyo ambayo inatrend TikTok, ilirekodiwa na mpiga picha wa Paula, Benard Atilio ambaye ndiye aliyemuuliza iwapo madai ya kupokonywa Range hiyo yalikuwa ya kweli.

"Nasikia mmenyang'anywa Range," aliulizwa Paula na Benard Atilio. Paula alimjibu kwa kusonya tu na kucheka ila hakufafanua iwapo ni kweli wamepokonywa au ni madai tu.

Hata hivyo, jibu la Paula linashiria kuwa bado Kajala hajapokonywa gari hilo.

Una mtazamo gani⁉️ 🤔
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad