AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
International manager wa WCB Wasafi @sallam_sk hatimae amefunguka kuhusu tetesi za yeye kutajwa kwenda kujinga na record label ya Konde Gang.
Kupitia mahojiano yake na kituo cha mjini fM Sallam_sk amekanusha tetesi hizo na kueleza kuwa ni kumkosea adabu kwa taaarifa hizo huku akiweka wazi kua anaweza kufanya kazi na @harmonize_tz endapo atarudi WcB ama yeye kuanzisha record label yake na kumsaini kama msanii wake ila si yeye kwenda konde gang.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK