AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakala Ya Barabara (TANROADS) Mkoa wa Dar es Salaam umetoa taarifa jana kwa Watumiaji wa Daraja la Tanzanite kuwa uwekaji wa nembo ya Tanzanite umekamilika na Daraja limefunguliwa juzi siku ya Jumapili tarehe 8 Januari 2023 saa Saba (7) Mchana, tayari magari yameanza kupita na huu ni muonekano wa Daraja kwa siku ya leo.
Kupitia taaarifa yao walisema “TANROADS Mkoa wa Dares Salaam inawashauri Watumiaji wa Daraja hilo kuendelea kulitumia kwa kuzingatia alama za usalama Barabarani na utunzwaji wa miundombinu adhimu ya daraja hili, tunaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza wakati wa uwekekaji wa nembo ya Tanzanite”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK