AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la Polisi la Jimbo la Rivers Nigeria limemkamata mvulana mwenye umri wa miaka 17 aliyetambulika kwa jina la Noble Uzuchi na Chigozie Ogbonna (29) kwa madai ya kuwapa ujauzito wanawake 10 kwa ajili ya biashara haramu ya kuuza watoto.
Waliokamatwa wengine ni washukiwa wawili wa kike, Favour Bright (30) na Peace Alikoi (40) ambao wamedaiwa kuendesha kiwanda cha watoto katika maeneo ya Obio/Akpor na Ikwerre katika jimbo hilo.
Imeeleza kuwa Uzuchi na Ogbonna walikodiwa ili kufanya mapenzi na wasichana hao na kuwapa ujauzito.
Msimamizi wa Polisi, Iringe-Koko amesema kwamba uchunguzi uligundua kuwa mwathirika anapojifungua, mtoto walimhifadhi na kumlipa mama kiasi cha N500,000 [TZS milioni 2.5] na kwamba baadhi ya watoto waliojifungua awali walikuwa wameuzwa tayari.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK