Sophia Mjema achukua mikoba ya Shaka CCM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi CCM imemteua Sophia Mjema kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi wa Chama hicho akichukua nafasi ya Shaka Hamdu Shaka
Aliyekuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi CCM Shaka Hamdu Shaka amewashukuru wanahabari kwa ushirikiano wao ndani ya chama hicho hususani wakati wa uchaguzi

Shaka ametoa kauli hiyo wakati akikamilisha kutangaza safu mpya ya uongozi wa Chama hicho iliyochaguliwa leo na Halmashauri kuu ya taifa 

"Niwashukuru wanahabari wote kwa mchango wenu ambao mmeutoa kwa chama kwa kipindi chote hasa kipindi cha uchaguzi mmekuwa na sisi karibu mno mpaka leo tunakamilisha safu hii mmefanya kazi nzuri sana, tunasema kazi inaendelea kwa speed na viwango" 

Katika safu hiyo mpya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM imemteua Sophia Mjema kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi akichukua nafasi ya Shaka Hamdu Shaka
 

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad