AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta juzi Februari alifanikiwa kuifungia timu yake ya KRC Genk bao kwenye mchezo wa ligi dhidi ya KV Oostende ambao ulimalizika kwa ushindi wa mabao 3-0.
Mabao mengine katika mchezo huo yalifungwa na D. Munoz 9', M. Samatta 41' na J. Paintsil kipindi cha pili.
Genk wanakamata nafasi ya kwanza katika msimamo wa Ligi Kuu ya Ubelgiji wakiwa na alama 66 baada ya michezo 27.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK