AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapa Diddy amekanusha uvumi wa kuwa amemchana Burna Boy baada ya kushindwa kuondoka na Tuzo ya Grammy mwaka huu. Taarifa hiyo ilionekana mitandaoni ikionesha imetoka kwenye insta story ya akaunti ya Diddy ikimchana Burna kuwa amekosa Tuzo baada ya kuamua kufanya Album nyingine bila uwepo wa Diddy.
Kwenye moja ya comment zake hapa instagram, Diddy ambaye alikuwa Executive Producer wa Album ya Burna Boy (Twice As Tall) iliyoshinda Grammy 2021, alikanusha uvumi huo kwa kusema hakuna ukweli wowote.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK