Harmonize Ajipa Likizo ya Mapenzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa Bongo Fleva toka Konde Music Worldwide, Harmonize amesema kutokana na kupitia mengi ya kuumizwa katika mahusiano, sasa amejipa mapumziko.


Katika taarifa aliyochapisha kwenye ukurasa wake wa Instagram siku ya Jumatano, Harmonize amesema kwamba kwa sasa anajipatia muda usiojulikana wa mapumziko kabla ya kujitosa kwenye mahusiano mapya.


“Msijali, hivi karibuni nitapata mtu na mtamjua!!,” alisema.


Staa huyo alidokeza kwamba alipitia masaibu mengi mno wakati akiwa katika mahusiano yake ya awali. “Wasikuone na kidem tuu!! Hivi mnajua niliyo yapitia,” aliandika.


Utakumbuka Kajala Masanja alithibitisha kutengana na Harmonize mwishoni mwa mwaka jana baada ya kuchumbiana naye kwa takriban miezi saba.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad