Kampuni ya Adidas yakiri kujutia kutemana na Kanye West, Kupata Hasara ya Mabilioni ya Pesa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kampuni ya Adidas yakiri kujutia kutemana na Kanye West Oktoba mwaka jana kwani kufuatia kitendo hicho, Kampuni hiyo inatarajia kupata hasara ya $1.3 Billioni ambazo ni zaidi ya TSh. Trilioni 3 kwenye mauzo yao kwa mwaka huu.


Kwenye taarifa ya Kampuni hiyo imeeleza kwamba ni kutokana na kushindwa kuuza nguo na viatu vya brand ya "Yeezy" ya rappa Ye ambazo walikuwa tayari wamezizalisha kipindi wapo nae.


Kwa upande mwingine, Adidas imesema inaweza kujaribu kuuza nguo hizo zikiwa zimeondolewa chapa ya "Yeezy" ambapo kama watafanya hivyo basi itawasaidia kuokoa takribani $300 Milioni za kampuni hiyo.


Itakumbukwa, Adidas ilivunja mkataba na Ye Oktoba mwaka 2022 kutokana na matamshi ambayo Kampuni hiyo iliyaita ya chuki dhidi ya Wayahudi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad