Mavocali Msanii Mpya WCB?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya tetesi kuwa msanii aliyesainishwa leo Februari 2, 2023 na lebo ya WCB ni mwimbaji nyota wa kizazi kipya @mavokali_ kuna hili la kufahamu.

Mavokali muda mfupi uliopita kupitia insta story yake ameandika "02/02/2023 Deal Done" akiwa na maana leo tarehe 2 mwezi wa pili kuna dili amelikamilisha.

Kufuatia caption hiyo anazidi kuhusishwa kuwa ndiye msanii mpya wa lebo ya WCB anayesubiri kutambulishwa rasmi. Pia kwenye ukurasa wake wa Instagram ameondoa picha zote sehemu ya feed.

Hata hivyo, sio Diamond wala uongozi wa lebo ya WCB uliothibitisha hili. Tuendelee kusubiri taarifa rasmi itakayotolewa na uongozi wa lebo.

Kama ni kweli 🤔.. Hitmaker huyo wa #Commando @mavokali_ kutua WCB, unauonaje usajili huo mpya
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad