Msechu Adai upungua Kilo 7 Siku 7 Baada ya Kuwekewa Puto Tumboni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Amewekewa Puto la kupunguza nafasi ya Tumbo la Chakula Januari 25, 2023 akiwa Kilo 143.4 na ameonesha kupungua hadi kufikia Kilo 136.5 (sawa na kupungua uzito wa Kilo 1 kila siku)


Kupitia Instagram Msechu amesema, "Eeeh Mwenyezi Mungu sijui nikushukuru vipi, niliwekewa Puto 25/01/2023, leo ni siku ya 7 nimepiga picha hiyo mida ile ile ya asubuhi kama wakati naenda hospitali nimepunguza Kilo 7"


Huduma ya kupunguza uzito imeanza kutolewa Nchini baada ya kuwepo kwa ongezeko kubwa la watu wenye Uzito uliopitiliza ambapo hadi kufikia Januari 25, 2023 watu 27 walikuwa wameipata

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad