AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Post ya mwisho ya AKA ilionesha location alipokuwa (kwenye mgahawa wa Wish uliopo barabara ya Florida, Durban.
Amepigwa risasi dakika chache tu akiwa nje ya Wish baada ya kula chakula na marafiki zake hapo na pia baada ya kuweka post hiyo.
Nadhani alikuwa anabadilisha kiwanja kuelekea klabu inaitwa Yugo kwenye sherehe ya birthday yake.
Hivyo, waliompiga risasi walijua exactly mahala alipo.
Swali ni, walijuaje kuwa amemaliza kula na yupo nje anataka kuondoka?
Je! Kuna mtu ndani ya huo mgahawa aliwatonya wauaji, ndio maana wamefanikiwa kufanya drive by shooting ambayo inahitaji timing! Shoot and drive!
Je! Kuna snitch miongoni kwa hawa marafiki zake?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK