Simba Yaipiga Bao Newcastle, Yanga Timu Bora Duniani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Baada ya IFFHS kutoa orodha ya Ligi Bora duniani huku Ligi Kuu ya Tanzania ikiwa nafasi ya 39 duniani na ya tano (5) Afrika, kuna orodha pia ya klabu 502 bora duniani.

Kwa mujibu wa IFFHS wameangalia matokeo ya klabu na mafanikio iliyoyapata kwenye kipindi cha kati ya Januari hadi Disemba 31, 2022.

Kwa hiyo kwenye kila nchi wamepima matokeo na mafanikio ya kila timu halafu wanalinganisha na timu nyingine ili kupata orodha ya nafasi ya timu ya kwanza hadi mwisho.

Kwenye tatu (3) bora ya klabu bora duniani, nafasi ya kwanza na ya pili zipo klabu za Brazil ambazo ni Flamengo na Palmeiras halafu nafasi ya tatu ipo Liverpool ya England. Klabu nyingine kubwa duniani hazipo kwenye tatu bora!

Al Ahly ya Misri imeshika nafasi ya 17 kwenye orodha hiyo, kwa maana hiyo Al Ahly ni bora kwenye takwimu kuliko klabu kama Barcelona, Napoli, AS Roma, Arsenal n.k.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad