Uchaguzi Nigeria: Utata waanza kuibuka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Viongozi wa Chama cha Labour nchini Nigeria wana wasiwasi jinsi maafisa wa Tume Huru ya Kitaifa ya Uchaguzi – INEC wanavyosimamia uchaguzi wa urais na huenda mambo yakaenda ndivyo sivyo.


Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Abuja, Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Julius Abure alisema matokeo ya uchaguzi katika majimbo ya Lagos, Rivers, Edo na Imo yalitengenezwa.


Kufuatia hali hiyo, Abure ametoa wito kwa tume hiyo ya uchaguzi kufuta matokeo ya urais ambayo walisema yalikuwa tofauti na yale yaliyorekodiwa katika vituo vya kupigia kura.


Aidha, chama hicho cha Labor pia kimemuomba Rais Muhammadu Buhari atimize majukumu yake ya kuhakikisha uchaguzi huu wa 2023 unakuwa huru, wa haki na wa kuaminika.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad