AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiungo wa Yanga, Feisal Salum 'Fei Toto' baada ya kutua nchini Misri amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu maandalizi ya mechi dhidi ya Uganda kufuzu Afcon 2023.
Fei Toto akihojiwa na kituo cha televisheni cha Azam amesema wamejiandaa vizuri na wanaahidi ushindi kwa watanzania.
"Kweli kuna wachezaji wapya na mwalimu mpya ila Uganda tunawaheshimu ni timu nzuri ina wachezaji wazuri, ila tutaipambania Taifa Stars ili tupatematokeo,"
Ameongeza; " Katika mechi mbili watuombee dua na tutapata matokeo kwa uwezo wake Mungu,"
Taifa Stars itacheza mechi mbili na Uganda ikianzia ugenini Misri Machi 24 na kurudiana Machi 28 jijini Dar.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK