Maneno Aliyotoa Costa Titch Wakati wa Kifo cha AKA "Tumeshindwa Mtihani wa Kujua Tutaondoka Muda Gani"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


“Bado sihisi kama ni kweli.... Nitakupenda siku zote kaka” ni maneno ambayo Rapa tokea South Africa , @costatitch aliyachapisha kwenye ukurasa wake wa Instagram, February 13 siku 3 baada ya kifo cha Rapa wa South Africa pia @akaworldwide

Ikiwa maneno hayo hayajatimiza hata mwezi tangu Titch ayaandike kama sehemu ya kuomboleza kifo cha AKA, Hit maker huyo wa SUPERSTAR ambaye amefanya kazi nyingi na wasanii wa Bongo Flava hasa tokea WCB, amefariki dunia pia.

Ni safari ya Rappers wawili iliyotenganishwa na siku kadhaa tu. Ni mtihani ambao binadamu tumeshindwa kuufaulu, kujua dakika zijazo nini kitatokea kwenye maisha yako, iwe kizuri au kibaya.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad