AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa #CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama chao ni cha Kidigitali, yeyote anaweza kujiunga au kutoka na pia hakuna urafiki wa kudumu au uadui wa kudumu kwenye siasa
Akijibu hoja kama CHADEMA ipo tayari kumpokea aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dkt. Willibrod Slaa, Mbowe amesema “Mtu aliyekuwa Kiongozi Mwandamizi kwenye chama kama Dkt. Slaa ujio wake hauwezi kuwa kama Mwanachama mwingine wa kawaida, lazima kuna njia zifuatwe."
Ameongeza “Bado hajatufikia, ametoa kauli kali dhidi yetu na wakati mwingine kutuunga mkono lakini hatuna geti la kuzuia Wanachama wapya. Tunatamani walioondoka kwa kashfa na kukidhalilisha chama wanapotaka kurejea watafute uungwana wa kuzungumza na Viongozi wenzao kujua kipi kilienda tofauti.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK