Raia wawili wa Marekani Waliotekwa Wakutwa Wamekufa Mexico

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Raia wawili wa Marekani kati ya wanne waliotekwa Ijumaa iliyopita nchini Mexico, wamepatikana wakiwa wamekufa. Marafiki hao waliokuwa wakienda Mexico kwa ajili ya upasuaji wa kupunguza tumbo, walitokea katika jimbo la North Carolina wakapita Texas na baadae kuingia Mexico.Walipofika mji wa Matamoros walitekwa na watu wenye silaha. Kupatikana kwao kumekuja baada ya ushirikiano mkubwa kati ya maafisa wa Marekani na Mexico. Matamoros ni moja ya miji hatari sana nchini Mexico inayofahamika kwa uhalifu unaoongozwa na makundi ya wadau wa dawa za kulevya. Makundi hayo yana nguvu kubwa wakati mwingi kuizidi mamlaka. Ni moja kati ya miji 6 ya Mexico ambayo raia wa Marekani wamekuwa wakishauriwa kutokwenda kwa sababu za kiusalama.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad