Mbosso Aitwa Basata Kupewa Shule Kuhusu Tuzo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema kama kuna msanii ambaye hajaridhishwa na mchakato wa tuzo za Tanzania (TMA) basi afike BASATA na ataoneshwa hatua zote za upembuzi zilizomtoa katika mchakato wa tuzo.

Akizungumza na TBC mratibu wa tuzo za TMA, Mrisho Mrisho kutoka BASATA wakati akijibu malalamiko ya msanii Mbosso ambaye hivi karibuni aliandika katika ukurasa wake wa Instagram akishangaa kwanini EP yake ya ‘Khan EP’ haijaingizwa kwenye EP bora ya mwaka, amesema unapoweka albamu unaichia jopo lifanye tathmini na yenyewe ndiyo itakayotoa maamuzi.

“Maamuzi hayo sasa si ya Mbosso kusema kwamba mimi EP yangu ni bora kuliko..,hapana usidharau kazi ya wengine, wasanii wote wanafanya kazi," amesema.

Hata hivyo Mrisho amemkaribisha msanii huyo kufika katika ofisi za BASATA ili kufunguliwa akaunti na kuoneshwa mfumo mzima wa mchakato wa tuzo hizo.
.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad