AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Orodha ya #Forbes inayojumuisha Watu 2,640 wanaomiliki Utajiri mkubwa Duniani, imemtaja Rapa na Mfanyabiashara #JAYZ katika nafasi ya 1,217 akiwa na Utajiri wa Tsh. Trilioni 5.8 na #Rihanna kwenye nafasi ya 2020 akiwa na Utajiri wa Tsh. Trilioni 3.2
Orodha hiyo inaongozwa na #BernardArnault na Familia yake wakiwa na Utajiri wa Tsh. Trilioni 493.9, akifuatiwa na #ElonMusk mwenye utajiri wa Tsh. Trilioni 421.3 na #JeffBezos mwenye Trilioni 266.8. #KanyeWest ametajwa kupoteza utajiri wa takriban Tsh. Trilioni 2 katika orodha hiyo
Ni Msanii gani wa #Tanzania unatamani afanikiwe kufikia viwango hivyo?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK