Lemutuz "Tusitegemee Kuwashinda Kirahisi Hawa Waarabu Wydad Kwao"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ameandika Lemutuz:

HAO ni Washabiki wa WYDAD na Uhuni wao UGENINI hawaogopi maana MAKAO MAKUU YA CHAMA CHA SOKA AFRIKA yapo huko huko Karibu na Kwao ....ndio maana REFA ALIYEPANGWA MAPEMA alibadilishwa JUU KWA JUU ...hata Uamuzi wa Kucheza na Simba ulikuwa ni uamuzi wao ....SAWA ...the Americans wanasema CHAMPION HUPIGWA KWA KNOCKOUT huwa kumshinda Bingwa lazima Umpige Magoli ndio maana SUNSDOWN MAMELODI Huwa wanawapiga hawa Waarabu kwao MAGOLI 5 - 0 Kwenda mbele ...tusitegemee kuwashinda kwa GOLI MOJA KWAO watafanya lolote WATATUSHINDA NA KWA KAWAIDA SOKA LAO HUWA LINACHEZWA NJE YA UWANJA NA MASHABIKI WAO ambao WANA BACK UP YA CHAMA CHA SOKA AFRIKA....
So SIMBA LUNYASI tuna MTIHANI MZITO SANA lakini tunajua kwamba WANAFUNGIKA SO LETS GO SIMBA LUNYASI TUWAPIGE gademu KWAO! - BOMA LIWANZA
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad