TMA "Mvua ipo Hadi Mwezi wa Sita"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imesema mvua zinazonyesha kwa sasa katika maeneo mbalimbali ya nchi zitaendelea mpaka mwezi wa sita mwaka huu na vitakuwa ni vipindi vifupi na virefu vya mvua kubwa ambazo zinaweza kusababisha madhara ikiwemo mafuriko na magonjwa ya milipuko.


Akizungumza na EATV leo Mtaalam na Mchambuzi wa Hali ya Hewa kutoka TMA Joyce Makwata, amesema mikoa ambayo itaathirika zaidi na mvua hizo ni Ile ya Dar es Salaam Tanga, Pwani, Morogoro, Visiwa vya Unguja na Mafia.


Amesema licha ya kwamba mvua hizo ni za masika lakini wananchi wanapaswa kuhakikisha kwamba wanafuatilia  kwa karibu taarifa za mamlaka ili kufahamu mwelekeo wa hali ya hewa kwa sasa.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad