Yanga Kiboko.. Yaitandika Rivers ya Nigeria Kichapo Kitakatifu...Kwa Mkapa Wakija Tunawamaliza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


KLABU ya YAnga imefanikiwa kuondoka na ushindi mnono wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya timu ya Rivers United ya nchini Nigeria katika mchezo wa mkondo wa kwanza robo fainali Kombe la Shirikisho barani Afrika.

Kipindi cha kwanza Yanga iliingia ikicheza mfumo wa mabeki watano ambapo upande wa beki wa kushoto alicheza Lomalisa ambaye alikuwa anapanda na kushuka vilevile kwa upande wake Djuma Shabaan.

Kipindi cha pili Yanga ilifanya mabadiliko kuanzia kwenye mfumo kutoka 3-5-2 na kuwa 4-4-2 na kuwapumzisha baadhi ya wachezaji ambapo mabadiliko hayo yalizaa matunda kwani yalisaidia kupata matokeo hayo.

Pongezi za pekee ziende kwa Nahodha Bakari Mwamnyeto ambaye alitoa pasi za mabao yote mawili ambayo yalifungwa na Mshambuliaji Fiston Mayele.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad