AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu ya #USMAlger imeingia Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuifunga #ASECMimosas ya #IvoryCoast magoli 2-0 katika Nusu Fainali ya pili baada ya awali kutoka 0-0
Kwa matokeo hayo mchezo wa Fainali unatarajiwa kupigwa Mei 28 na marudio ni Juni 3, 2023 ambapo #Yanga itaanzia Nyumbani kwenye Uwanja wa Mkapa
Timu hizo zinatarajiwa kukutana wakati Yanga ikiwa imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara 2023 huku USM Alger ikishika nafasi ya 7 kati ya timu 16 katika Ligi Kuu ya Algeria ambayo bado inaendelea
-
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK