AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shirikisho la Soka la Tanzania #TFF) limetangaza kuchukua hatua hiyo pamoja na kumtoza faini ya Tsh. 500,000 kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi Mchezaji wa #RuvuShooting, Abal Kassim Suleiman
Tukio lilitokea wakati Wachezaji hao hawagombei Mpira, jambo ambalo lilisababisha mwamuzi wa Mchezo ashindwe kuona. Adhabu hiyo ni kwa kuzingatia Kanuni ya 41:5 (5.2) ya Ligi Kuu kuhusu udhibiti kwa Wachezaji
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK