AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KAMA Yanga itavuka leo, italazimika kucheza fainali kwa mtindo wa nyumbani na ugenini ili kupata bingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika.
Kwa mujibu wa Caf, ni kwamba mshindi wa mechi ya Yanga na Marumo, atakuwa mwenyeji wa fainali ya kwanza Jumapili ya Mei 28.
Marudiano itakuwa ni ugenini, Juni 3, ambapo mshindi wa Yanga na Marumo atamvaa atakayevuka kati ya USM Algiers na Asec Memosas ambao katika mechi ya kwanza Ivory Coast walitoka suluhu.
Nusu fainali za leo, zimebeba msisimko mkubwa kwani kila mmoja amepania kuweka rekodi yake huku Yanga ikiwa inataka zaidi kujiweka katika levo nyingine.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK