'Feisal Toto Tumempa Machaguo Haya Matatu Achague' Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

'Feisal Toto Tumempa Machaguo Haya Matatu Achague' Yanga


“Sitaki kwendambali ila mimi naamini kunakitu nyuma ya Feisal kinachomsukuma kufanya haya, kuvunja mkataba inaruhusiwa lakini pale ambapo pande zote mbili mnapokuwa mmeshindwa kufikia makubaliano, kitu ambacho kwa Feisal hakipo kwasababu Yanga tumetekeleza yote ambayo anapaswa kutekelezewa Feisal hivyo mamlaka zikamtaka Feisal kuendelea na mkataba wake”

“Tumempa Feisal machaguo matatu!

1. Arudi kutumikia mkataba wake

2. Kama tatizo ni maslahi aje tuzungumze kwasababu upande wa Yanga hatuna shida na kumboreshea maslahi yake.

3. Klabu yoyote inayomtaka Feisal ije tuzungumze nayo sis kama Yanga wala hatuna shida” -Maneno ya Engineer Hersi Said @caamil_88 kwenye #PowerBreakfast ya CloudsFM •

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad